اَلۡـحَـمۡـدُ لـِلّٰـہِ رَبِّ الۡـعٰـلَـمِیۡنَ وَ الـصَّـلٰـوۃُ وَالـسَّـلَامُ عَـلٰی سَـیِّـدِ الۡـمُـرۡسَـلِـیۡنَ
اَمَّـابَــعۡـدُ فَـاَعُـوۡذُ بِـالـلّٰـہِ مِـنَ الـشَّـیۡـطٰنِ الـرَّجِیۡمِؕ بِـسۡمِ الـلّٰـہِ الـرَّحۡـمٰنِ الـرَّحِـیۡمِؕ
Vyovyote vile shetani atakufanya ujiskie uvivu au uzito, basi kisome
kitabu hiki kutoka mwanzo mpaka
mwisho
اِنْ
شَــآءَالـلّٰـه عَزَّوَجَلَّ imani yako itakuwa
nzuri zaidi.
Mtume wa Rahmah صَلَّى اللهُ تَعَالٰى عَلَيْهِ وَاٰلِهٖ وَسَلَّم, Mtetezi wa Umma, wa mwanzo kuingia peponi صَلَّى اللهُ تَعَالٰى عَلَيْهِ وَاٰلِهٖ وَسَلَّم alisema, ‘Yeyote atakae nisalia mimi mara mia mbili katika siku ya Ijumaa, atasamehewa madhambi yake ya miaka mia mbili.’
(Jam'-ul-Jawāmi'-lis-Suyuti, juz. 7, uk 199 ., Hadithi 22353)
صَلُّوۡا عَلَى الۡحَبِيۡب صَلَّى اللّٰهُ تَعَالٰى عَلٰى مُحَمَّد